Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Image may contain: 2 people, people smilingDiamond Platnumz on #LeoTena - amekiri kwamba Hamisa amewahi kuwa na mahusiano nae ambayo yalianza mwaka 2009/10 wakati tu anatoka kwenye game ya muziki kabla hajaanza mahusiano na @wemasepetuBaada ya kuachana wakati, mimi nikaendelea na maisha yangu na mpaka naanzisha mahusiano yangu na Zari. Shetani akanipitia na Tukaanza tena kuwa na mawasiliano ya kimahaba mpaka pale @hamisamobetto alipopata ujauzito. Nilimuambia mimi ni Baba mwenye familia yangu. Inabidi jambo hili libaki kati yangu mimi na wewe. Sikupenda kuikana Mimba, ni damu yangu na kila siku iendayo kwa Mungu nilikuwa nampatia matumizi. Mwanamuziki Diamond Platinamz katika Mahojiano yake na kipindi cha Leo Tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake. Asema hakuna mazingira yoyote aliyotengeneza kumkataa mtoto, alikuwa natoa laki 5 kila wiki kwa ajili ya matumizi. - Kabla hajajifungua mimi nilimnunulia Rav 4 mpya kabisa sikupenda ateseke na mtoto!

Post a Comment

 
Top