
Bob Chacha Wangwe akiwa mikononi mwa polisi.
MAHAKAMA ya Kisutu imemhukumu Bob Chacha Wangwe kwenda jela mwaka mmoja na nusu au kulipa faini ya Sh. Milioni 5 kwa kupatikana na hatia ya kuchapisha taarifa ya uongo Facebook alikoandika: “Haiwezekani Znz kuwa koloni la Tanzania Bara kwa sababu za kijinga”.
Habari kutoka mahakamani zinasema ndugu wa Wangwe wanachanga fedha hizo ili kumnusuru na adhabu ya kwenda jela.
STORI: DENIS MTIMA, GPL






Post a Comment