Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Brown Achora Tatoo Yenye Jina la Wolper Kifuani Mwake 
‘Kiben’teni’ Wolper, Barnaba Lukindo maarufu kama ‘Brown’, ameonyesha mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake mkali wa sinema za Kibongo ambaye kwa sasa hivi ni mbunifu wa mavazi, Jacqueline Wolper Massawe, kwa kuchora tatoo kwenye kifua chake yenye jina la mdada huyo.

Brown amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii na kuonekana penzi limekolea

Post a Comment

 
Top