Hukumu ya miaka miwili aliyopewa Mwigizaji Lulu
leo imegusa watu mbalimbali ambapo pamoja na kwamba wawili hawa iliwahi
kuripotiwa kuwa hawana maelewano mazuri, kilichotokea leo kimemgusa
Hamisa Mobetto mpaka kuandika yafuatayo na inaonekana hakuna ugomvi kati
yao kwani kwa maelezo haya Lulu ameonekana ni Rafiki wa Mtoto wa
Hamisa.
“Ni Mapito Tu aunty ake Fansy.kinachoniuma Zaidi Ni how much
Fantasy amekuzoea , sisi wote hatupo tayari kwa mabadiliko hayo katika maisha yetu, MUNGU akupe Nguvu na kukusimamia love .
Fantasy amekuzoea , sisi wote hatupo tayari kwa mabadiliko hayo katika maisha yetu, MUNGU akupe Nguvu na kukusimamia love .






Post a Comment