Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mpiga Picha mwandamizi wa TBC Bibi Mary Hondo katika Viwanja vya Bunge Dodoma leo Novemba 15/2017 .pembeni kwa Mary ni Msimamizi wa Vipindi TBC Bibi Happinesi Ngasala.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Itilima Mkoa wa Simiyu. Mheshimiwa Njalu Silanga.leo Novemba 15/2017 katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma






Post a Comment