Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
NAIBU
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akisalimiana na Afisa
Rasilimali watu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini
Tanga (Tanga Uwasa),Haika Ndalama mara baada ya kuwasili kwa ajili ya
ziara ya kuitembelea mamlaka hiyo
 NAIBU Waziri wa Maji na
Umwagiliaji Jumaa Aweso akisalimiana na Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya
Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorrah Killo 

mara baada ya kuwasili kwa ajili
ya ziara ya kuitembelea mamlaka hiyo kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa
Mamlaka hiyo Mhandisi Phares Aram
NAIBU Waziri wa Maji na
Umwagiliaji Jumaa Aweso kulia akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya
Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi
Phares Aram wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa mamlaka hiyo kwa
ajili ya kumpatia taarifa wakati wa ziara yake.

NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akizungumza wakati wa ziara hiyo  
NAIBU
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akizungumza wakati wa ziara
hiyo kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena Saidi
anayefuatia ni 
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Phares Aram
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya
Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi
Phares Aram akizungumza wakati wa ziara hiyo
NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akizungumza na watumishi wa mamlaka hiyo
Afisa
Rasilimali watu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini
Tanga (Tanga Uwasa),Haika Ndalama akizungumza wakati wa ziara hiyo wa
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso
 Sehemu ya watumishi wa mamlaka hiyo wakifuatilia nasaha za Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Mamlaka hiyo 
Naibu Waziri wa Maji na
Umwagiliaji Jumaa Aweso kulia akisisitiza jambo kwa Kaimu Mkurugenzi wa
Mamlaka ya Maji Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini Tanga,Phares Aram
wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa Maji
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso katikati akimsikiliza kwa umakini  Kaimu
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini
Tanga,Phares Aram wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa
Maji 
(Habari kwa hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
 Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji
Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorrah Killo
akimueleza jambo kwenye ziara hiyo ya Naibu Waziri
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso  akichimba mtaro katika eneo la Mikanjuni Jijini Tanga wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa Maji 
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa Aweso  akichimba mtaro katika eneo la Mikanjuni Jijini Tanga wakati alipotembelea mradi wa mfumo wa uboreshaji wa Maji
Naibu Waziri wa Maji na
Umwagiliaji Jumaa Aweso akitoa mchanga kwenye mtaro huo mara baada ya
kuuchimba na sururu wakati wa ziara yake ya kutembelea mamlaka ya maji
safi na usafi wa mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa)
aimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji
Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini Tanga,Phares Aram akichimba mtaro
huo katikati anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Jumaa
Aweso
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha

Post a Comment

 
Top