Hatua hiyo ya kuzifuta inakuja baada ya siku za karibuni kuamua kuokoka kutokana na kupitia majaribu ya mtoto wake kuumwa.
Munalove amesema tangu aamue kuokoka ameamua kuachana na mambo mengi ya kidunia huku tatuu ni jambo ambalo linamnyima raha na kuamua kutata kuzifuta tatoo hizo.
Amesema mpaka sasa anamichoro mitano katika mweili wake ambayo ikiwemo na Tatoo ya Shingoniambayo ni kubwa kuliko yote huku akidai kuwa ameshaulizia gharama ya kufuta na kuambiwa kuwa ni milioni tano.
''Tayari nimeshaulizia kwa wataalamu kutoka Thailand ambao watanifuta bila kupata madhara yoyote na kuniambia ni milioni tano huku hizi zingine ambazo ni ndogondogo zitakuwa chini ya milion 2.1'' Munalove
Munalove amesema tangu aamue kuokoka ameamua kuachana na mambo mengi ya kidunia huku tatuu ni jambo ambalo linamnyima raha na kuamua kutata kuzifuta tatoo hizo.
Amesema mpaka sasa anamichoro mitano katika mweili wake ambayo ikiwemo na Tatoo ya Shingoniambayo ni kubwa kuliko yote huku akidai kuwa ameshaulizia gharama ya kufuta na kuambiwa kuwa ni milioni tano.
''Tayari nimeshaulizia kwa wataalamu kutoka Thailand ambao watanifuta bila kupata madhara yoyote na kuniambia ni milioni tano huku hizi zingine ambazo ni ndogondogo zitakuwa chini ya milion 2.1'' Munalove






Post a Comment