Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Dodoma amefanya ukaguzi wa Askari wake ambapo pia alipata nafasi ya kuwaeleza Waandishi wa habari kuhusu hali ya usalama nchini ilivyo na kutoa onyo kwa watu wanaotarajia kufanya uhalifu.
“Mtu yeyote au kikundi chochote kisitishie amani ya nchi kwa manufaa yake, watu watii sheria na atakayekwenda kinyume cha sheria sheria itamshugulikia. Watu wengi wanapenda kutii sheria ila ni wachache sana wanapenda kuingia kwenye uhalifu na mtu akiingia kwenye uhalifu lazima nitamshugulikia” –IGP Simon Sirro
“Mtu yeyote au kikundi chochote kisitishie amani ya nchi kwa manufaa yake, watu watii sheria na atakayekwenda kinyume cha sheria sheria itamshugulikia. Watu wengi wanapenda kutii sheria ila ni wachache sana wanapenda kuingia kwenye uhalifu na mtu akiingia kwenye uhalifu lazima nitamshugulikia” –IGP Simon Sirro






Post a Comment