Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

DAR: Jeshi la Polisi linashikilia hati za kusafiria pamoja na simu za wasanii Diamond Platnumz, Nandy, Billnass na Hamisa Mobetto kwa uchunguzi zaidi


Wasanii hao walikamatwa na kuhojiwa juzi na jana katika Kituo Kikuu cha Polisi kisha kuachiwa kwa dhamana wakitakiwa kuripoti tena Ijumaa Aprili 20

Wasanii hao walikamatwa na kuhojiwa kutokana na kusambaa kwa video zao zisizo na maadili katika mitandao ya kijamii

Post a Comment

 
Top