Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Shilole: Ngumu Kuamini Kifo cha Masogange Juzi tu Nilimpelekea Oda ya Chakula
Msanii wa filamu na muziki, Shilole, amesema ilikuwa ngumu kwake kuamini kwa mara ya kwanza pale alipopokea taarifa za kifo cha mwanamitindo na video queen, Agness Masogange, kwani siku chache nyuma kabla ya mauti kumkuta alimpelekea chakula na wakapata muda wa kunywa pamoja.


Shilole amesema yupo tayari kwa chochote ambacho atahitajika kufanya kwa sasa kwa ajili ya kumpumzisha rafiki yake huyo kipenzi.

Post a Comment

 
Top