Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wolper Ashindwa Kuvumilia Afunguka Mahusiano ya Nisher na Brown " Nisha Hana Vigezo vya Kutembea na Brown"
STAA wa Bongo Movie, Jackline Wolper amepinga kwa nguvu zote stori zinazosambaa mitandaoni kuwa X-wake ambaye ni mwanamitindo, Brown ana uhusiano wa kimapenzi na muigizaji mwenziye, Salma Jabu ‘Nisha’. 

Wolper amesema Nisha ni mchekeshaji hivyo haamini kabisa kama anaweza kutoka na mwanamitindo huyo na pia anazijua taype za wanawake wanaoweza kutembea na Brown haifanani kabisa na Nisha. 

Aidha, amesema Project yao mpya ya kijana amka itawasaidia vijana wengi waliokata tamaa ili waweze kuamka na kujikwamua kimaisha kupitia vipaji vyao hata kama ni vipaji vya wanavyodharaulika.

Post a Comment

 
Top