Aliyekuwa mhasibu wa TAKUKURU Godfrey Gugai amejitokeza na kudai hajakimbia nchi na tayari ameshajisalimisha kwenye ofisi za taasisi hiyo.
Pia amesema TAKUKURU imemdhalilisha kwa kutoa taarifa hiyo isiyokuwa na uhakika na kushangazwa na taasisi hiyo kutangaza dau la Shs. milioni 10 wakati ina mahitaji makubwa ya fedha
CHANZO NA JAMII FORUMS






Post a Comment