Haya maneno ya Diamond Platnumz baada ya kusikia hukumu ya Mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ya kifungo cha Miaka Miwili Jela baada ya kukutwa na hatia kwenye kesi ya kumuua bila kukusudia Mwigizaji Steven Kanumba.
Diamond Platnumz ameandika“Mwenyez
Mungu ameamua kukupa mtihani huu wewe kwasababu anaamini wewe ni Shujaa
na Imara.pia anaamini wewe ndio msichana pekee unaeweza kuuhimili
mtihani huu. hivyo Usisononeke, Make him Proud.






Post a Comment