Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amefunga mkutano wa Mkuu wa 9 wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na kuwasihi viongozi waliochaguliwa kuongoza jumuiya kwa maslahi ya Jumuiya hiyo na CCM kwa ujumla. Ambapo mkutano huo ulikuwa ukifanyika mjini Dodoma.






JIUNGE NA BONGO5.COM SASAU
JIUNGE NA BONGO5.COM SASAU






Post a Comment