Mkuu wa TAKUKURU mkoani Kilimanjaro Holle Makuru amesema Melzedeck Humbe ambaye awali alikuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Hai pamoja na Valentino wanatarajiwa kufikishwa mahakamani wakituhumiwa kwa ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi, pamoja na matumizi ya nyaraka za kughushi kumdanganya mwajiri.
Home
»
»Unlabelled
» MKURUGENZI WA HALMASHAURI NA MHASIBU WANASHIKILIWA NA TAKUKURU KWA UBADHIRIFU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






Post a Comment