Msanii
Zuwena Mohamed ‘Shilole’ (katikati) akiwa na mpenzi wake waliyefunga
naye ndoa, Ashraf Uchebe (kushoto) katika picha ya pamoja baada ya ndoa
hiyo jijini Dar es Salaam.
BAADA ya hivi karibuni kufunga ndoa na Ashraf Uchebe, msanii wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefungukia tetesi za kuwa amemchukua mume wa mtu na kusema siyo za kweli.
Akipiga stori na Risasi Vibes, Shilole
alisema mumewe hana mwanamke mwingine na hajawahi kuoa bali yeye ndiye
mkewe halali hivyo wanaosema kwamba ana mke ni waongo, anachomshukuru
Mungu ni kwamba anafurahia ndoa yake na mambo yanaenda vizuri.







Post a Comment