Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing Corporation - NHC) Bi. Blandina Nyoni kuanzia leo tarehe 21 Machi, 2018.
Pia Mhe. Rais Magufuli ameivunja Bodi ya hiyo. Uteuzi wa Mwenyekiti na bodi nyingine utafanyika baadaye.








Post a Comment