Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano kupitia kwenye mitandao ya kijamii wakitumia simu zao za mikononi.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema hayo leo Machi 21, 2018 na kuongeza kuwa watu hao wamekua wakisambaza ujumbe kwenye mitandao ya kijamii kuhamasisha watu kuandamana Aprili 26 mwaka huu

Post a Comment

 
Top