Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Ngusa Izengo,
amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo
huko Chalinze-Nyama nje kidogo ya mji wa Dodoma
Muonekano wa gari alilokuwa amepanda Ngusa Izengo baada ya kuangukiwa na lori la mafuta.
Taswira nyingine ya ajali hiy
Askari wa usalama barabarani wakiwa eneo la ajali.








Post a Comment