Menu

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Ngusa Izengo, amefariki dunia katika ajali ya gari  iliyotokea usiku wa kuamkia leo huko Chalinze-Nyama nje kidogo ya mji wa Dodoma
Muonekano wa gari alilokuwa amepanda Ngusa Izengo baada ya kuangukiwa na lori la mafuta.
Taswira nyingine ya ajali hiy
Askari wa usalama barabarani wakiwa eneo la ajali.

Post a Comment

 
Top